Nafasi Ya Matangazo

December 31, 2011

 Mshiriki wa Tanzania katika shindano la Miss Tourism Queen International 2011, Nelly kamweli amefanikiwa kushika nafasi ya 5 katika shindano hilo lilifanyika Desemba 29, 2011 katika kituo cha Kimataifa cha Maonesho wa Qujiang  uliopo mji wa Xi'an, China. Taji hilo lilienda kwa mshiriki kutoka Vietnam, nafasi ya pili ikienda Ufilipino, tatu ikienda nchini Thailand ambapo nafasi ya nne ilichukuliwa na kimwana kutoka Nchini Australia.

 Pichani ni Nelly Kamwelu akijinadi katika shindano hilo.
 Nelly (wapili kushoto) akiwa na washiriki wenzake jukwaani.
Nelly Kamweli kutoka tanzania akiwa na washindi wenzake wa 5 bora baada ya kukabidhiwa tuzo zao.
Posted by MROKI On Saturday, December 31, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo