Leo asubuhi wafanyakzi wa bandari ya dar es Salaam walikubwa na kizaa zaa baada ya kutangaziwa kuwapo kwa boti katika bandari hiyo ambayo inamabomu.
Kufuatia amri hiyo wafanyakzi wote walio ndani ya bandari hiyo waliamriwa kutoka nje ya eneo hilo maana ilikuwa inatakiwa kulipuliwa iwapo jitihada za kuyategua mabomu hayo zingeshindaka.
Vikosi vya uoakojai vya Zimamoto, Polisi, JWTZ na Waandishi wa habari ni miongoni mwa wawajibikaji waliofika katika eneo la tukio hilo la uigizaji.
Pichani ni matukio kadhaa ya maigizo ambayo yalifanyika baada ya mabomu hayo ambayo yalikuwa ni Matikitiki maji, Matango, Biringanya kuwekwa sawa.
Kufuatia hatua hiyo waandishi wa habari wameonya udanganyifu mkubwa uliofanya na bandari hiyo na kuwa siku nyingine linaweza tokea tukio la kweli na taarifa zisiaminike.

