Nafasi Ya Matangazo

August 23, 2015


 Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli akihutubia halaiki iliyohudhuria uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Jwangwani jijini Dar es Salaam leo Agosti 23,2015.
 Wananchi wakidhibitiwa na polisi
Msanii Diamond akitumbuiza. 
 

Wananchi waliojitokeza katika ufunguzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo.
Posted by MROKI On Sunday, August 23, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo