Nafasi Ya Matangazo

June 25, 2015

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-DzIibmAKGWacYJsBMzY-L4wzx4tv-0M9FiQjx3A3hBJq4kDx4wtwQ_Uvk3hJ59SldpjjDgPgWgWIzA1SQXYS2xtCseeKTATi0qzCDLiWs8ByRKdh1O19RXDMm1MBX8E32_k1E5oE8zM/s1600/MMGL0703.jpg
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akihutubia wanachama wa CCM na wananchi katika Uwanja wa CCM mkoani Manyara baada ya kupokea orodha ya majina 42,405 waliomdhamini kugombea urais
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akipokea orodha ya majina 42,405 kwa Katibu wa CCM Wilaya Manyara, Daniel Ole Porukwa,  waliomdhamini kugombea urais
 Lowassa akisalimiana na wananchi wa Manyara.
 Msafara huo
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (katikati),akifurahia jambo katika Mkutano  wa wanachama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa kupokea orodha ya majina 42,405 waliomdhamini kugombea urais leo.
 Msafara wa Lowassa.
 Kada wa CCM Mkoani Manyara, akitembea kwa mikono kuonyesha kuanza safari ya matumani kuanza rasmi,wakati wa kumkabidhi Waziri Mkuu wa zamani,orodha ya majina 42,405 waliomdhamini kugombea urais
 Akipeana mkono na kada huyo.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Posted by MROKI On Thursday, June 25, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo