Nafasi Ya Matangazo

March 28, 2015

 Wanafunzi wa Chuo cha Mipango cha Mjini Dodoma leo wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma kwa zira ya siku moja ya kimafunzo. Wanafunzi hao wameshuhudia Bunge likijadili na kupitisha sheria ya Bajeti ya mwaka 2014 inayohitimishwa hii leo.
 Wanafunzi hao wa Mwaka wa kwanza kuytoka kozi mbalimbali chuoni hapo wakifuatilia mjadala huo wa Sheria ya Bajeti.
 Wanafunzi wakiwa makini kabisa kufuatilia mijada hiyo.
umakini zaidi kwa wabunge hawa watarajiwa....
Walipiga picha ya Pamoja nje ya Bunge.

Wadada nao walipiga yao.
Wanafunzi hao wa Chuo cha Mipango wakiangalia Business Card ya Father Kidevu Blog.
Posted by MROKI On Saturday, March 28, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo