Nafasi Ya Matangazo

March 02, 2015

Kaimu Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani Singida Bw.Salum Adam.
Kaimu meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani Singida Bw.Salum Adam akizungumza na Viongozi wa vyama mbalimbali vya Wajasiliamali manispaa ya Singida kuhusu kujiunga na mpango wa utaratibu wa kupata huduma za matibabu kwa Kadi kupitia vikundi vyao katika sekta isiyo rasmi kama AMCOS,SACCOS,VICOBA na Umoja wa Waendesha Bodaboda na Mama Lishe.
 
 Baadhi ya Wajasiliamali wakiwasikiliza Maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika mkutano huo wa Uhamasishaji kujiunga na Mpango wa Kikoa
Afisa kutoka Bima ya Afya makao makuu Dar-es-Salaam Bw.Salvatory Okumu akitoa Mada ya umuhimu wa kujiunga na mpango wa matibabu kwa kadi kwa sekta zisizo rasmi Kikoa.
 Baadhi ya Wajasiliamali wakiwasikiliza Maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika mkutano huo wa Uhamasishaji kujiunga na Mpango wa Kikoa. KAPIPIJhabari.COM
Posted by MROKI On Monday, March 02, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo