Nafasi Ya Matangazo

November 26, 2014

Ripoti ya kashfa ya fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zaidi ya Shilingi Bilioni 300 kutoka Benki Kuu (BoT), imewasilishwa Bungeni mjini Dodoma hii leo na kusomwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe na Makamu wake Deo Filikunjombe kusoma mapendekezo ya Kamati hiyo dhidi ya wote waliotajwa katika sakata hilo.

Katika mapendekezo yake miongoni mwa viongozi wa juu wa Serikali waliotolewa maamuzi kuwa wajiuzulu nyadhifa zao za kuteuliwa na kuchaguliwa ni pamoja na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, Elaichim Maswi.

Pia katika orodha yao wapo viongozi wa dini na wanasiasa ambao walichota fedha hizo za umma.
Posted by MROKI On Wednesday, November 26, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo