Nafasi Ya Matangazo

October 12, 2014

Miss Tanzania 2014, Siti Abbas Zuberi Mtemvu akipunga mkono mara baada ya kuvikwa taji hilo usiku wa kuamkia leo katika shindano lililoshirikisha warembo 30 na kufanyika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam. Siti Mtemvu ametwaa taji hilo lililokuwa likishikiliwa na Happyness Watimanywa.

Mrembo wa Redd's Miss Tanzania 2014,Sitti Abbas Mtemvu akiwa katika picha ya pamoja na Mshindi wa pili,Lillian Kamazima (kulia) na Mshindi wa Tatu,Jihhan Dimachk mara baada ya kutawazwa rasmi usiku huu kwenye ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam.Sitti Mtemvu alianza kwa kunyakua Redds Miss Chang'ombe na baadaye Redds Miss Temeke. Sitti ni binti wa kwanza Mbunge wa Temeke, Mhe. Abbas Mtemvu.
Picha zote na Othman Michuzi.
Redd's Miss Tanzania aliemaliza muda wake,Happiness Watimanywa akimpisha crown,Redd's Miss Tanzania wa sasa,Sitti Mtemvu.


 
Show ya ufunguzi...
Vazi la ufukweni...
Watazamaji
wanahabari wakifuatilia.
Vanesa Mdee akitumbuiza
 
wadau wakifuatilia


Majaji wakitafakari
 



Hatua ya 15 bora
Wazazi wa familia ya Miss Tanzania 2014.
Hii ilikuwa tano bora 
 
Wageni mbalimbali na wadau wa sanaa ya urembo wakifuatilia onesho hilo..
Vipongozi kutoka TBL wakifuatilia shindano hilo...
Majaji wakifanya kazi yao...
Posted by MROKI On Sunday, October 12, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo