Nafasi Ya Matangazo

October 21, 2014

 Mkurugenzi wa Kitengo cha Rasilimali watu Airtel  Tanzania Patric Foya akiongea wakati wa zinduzi wa wiki ya Rasimali watu uliofanyika  katika Ofisi za makao makuu ya  Airtel ambapo wafanyakazi watapata fulsa ya kupata elimu juu ya sera kuhusu mafao mbalimbali na haki yao za kimsingi  na huduma nyinginezo zinazotolewa na kusimamiwa na kitengo cha Rasilimali  watu, hafla ya uzinduzi huo imefanyika katika ofisi za Airtel Moroko leo
 Baadhi ya wafanyakazi wa kitengo cha rasilimali watu cha Airtel Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja  wakati wa uzinduzi wa wiki ya Rasilimali watu iliyozinduliwa  rasmi jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es saalam.
 Meneja Uajiri na vipaji wa Airtel Bi Gabriella Kaisi akiongea wakati wa uzinduzi wa wiki ya Rasilimali watu iliyozinduliwa  rasmi jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es saalam, Pichani ni  manej katika kitengo cha rasilimali watu Airtel
 wafanyakazi wa Airtel wakifatilia uzinduzi wa  uzinduzi wa wiki ya Rasilimali watu iliyozinduliwa  rasmi jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es saalam
 Meneja Rasilimali watu Airtel Bi Sophia Melamari akiongea wakati wa uzinduzi wa wiki ya Rasimali watu uliofanyika katika Ofisi za makao makuu ya  Airtel ambapo wafanyakazi watapata fulsa ya kupata elimu juu ya sera kuhusu mafao mbalimbali na haki yao za kimsingi  na huduma nyinginezo zinazotolewa na kusimamiwa na kitengo cha Rasilimali  watu, hafla ya uzinduzi huo imefanyika katika ofisi za Airtel Moroko leo
Posted by MROKI On Tuesday, October 21, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo